top of page
banner-img.png

Japhet Mkondya Ministries

Kuwaunganisha Watu Wote na Mungu

home
nsplsh_0deab5c0359f4534b6234949327b0424_
post1-pv3htehepvty8rmio29almwz5q03loj9255ug1l88i.jpg

MSIMAMO WETU

Sisi ni huduma isiyo fungamana na dhehebu lolote, wafanyakazi wa misheni wa siku za mwisho, ambao lengo lao ni kuufikia ulimwengu kwa Injili ya Yesu Kristo, na kwa ajili ya ufalme wa Mungu.

Huduma yetu inafafanuliwa kupitia maeneo makuu matatu ambayo ni kutafuta waliopotea, kuandaa watakatifu na kuandaa kanisa kwa ajili ya ujio wa pili wa Yesu Kristo.

KUTOKA KWENYE BLOG YETU

Zana za Ukuaji wako wa Kiroho

SHIRIKI PAMOJA NASI

Tuna watu takribani bilioni 8 duniani, na bilioni 2.38 wanajulikana kama Wakristo jambo ambalo linatuambia bado kuna kazi kubwa ya kufanya ili Injili iwafikie wengi tunaposubiri ujio wa pili wa Yesu Kristo. Lakini kazi hii haiwezi kufanywa na sisi wenyewe,karibu kushirikiana nasi leo ili kwa pamoja tuweze kuwafikia wengi kwa ajili ya ufalme wa Mungu.

Katika huduma yetu tunamtegemea Mungu kikamilifu. Ni kwa ajili ya heshima yake na ufalme wake. Kwa hiyo, tunahitaji maombi ili kuendeleza kazi yake.​

 Ili kujua jinsi ya kutuombea.

Huduma yetu inahusu kuwafikia watu: Wakristo na wasio Wakristo. Ikiwa unamjua mtu yeyote anayeweza kunufaika na huduma, shiriki naye maudhui yetu.

Nyenzo na uwezekano wa kufanya hivyo.

 katika ulimwengu huu, hakuna kitu kinachofanya kazi bila pesa. Tunahitaji pesa ili kutekeleza miradi yetu kwa vitendo.

Jinsi unavyoweza kuchangia na jinsi tunavyotumia pesa.

Jiunge na jarida letu la kila wiki  kama ungependa kujua zaidi kuhusu kazi zetu na kupata maoni mapya ya kiroho.

Asante kwa kujisajili!

KUWA SEHEMU YA MATUKIO YAJAYO

®© Hakimiliki™
© 2022 na Japhet Mkondya Ministries. Inaendeshwa na UniPegasus Infotech Solutions.
  • Instagram
  • Facebook
  • YouTube
bottom of page