top of page
Bildschirmfoto 2022-06-15 um 10.47.06.png

Jinsi ya kushinda dhambi ya Punyeto na ponografia

Ponografia na kupiga punyeto ni tatizo kubwa siku hizi. Kanisani na katika jamii utakuta idadi kubwa ya vijana ndio waathirika wa punyeto na ponografia. Cha kushangaza hakuna aliye tayari kulizungumzia au hata kukemea waziwazi kanisani; lakini ukweli ni kwamba, ni muuaji wa kimya wa kanisa.

Jiunge na Jarida letu la kila wiki ukitaka kujua

zaidi kuhusu kazi zetu na kupata taarifa mpya

zitakazo kuimarisha kiroho

mobile-43705022.png
®© Hakimiliki™
© 2022 na Japhet Mkondya Ministries. Inaendeshwa na UniPegasus Infotech Solutions.
  • Instagram
  • Facebook
  • YouTube
bottom of page